CHEKI MAMBO MATAMU,YA MZEIYA PLATINUMZ!!!!!!!!,NI HATARI!!!!

Manage Reading list

MMH..DIAMOND NA SARAKASI ZA MAPENZI...ETI SUKARI YA WAREMBO...!!LIST YA MASTAA ALIOWAPITIA HII HAPA..!

  taswirainc@blogspot.com- 1 hour ago
WALIOSEMA ujana ni maji ya moto hawakukosea. Mkali wao kwenye Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ ni msanii ambaye ana idadi kubwa ya msururu wa wanawake ambao ametoka nao kimapenzi ambapo, wapo wanaojulikana na wengine hawajulikani. *Nasibu Abdul ‘Diamond’.* Leo katika makala haya tunakuletea wanawake ambao kwa nyakati tofauti walibanjuka kimapenzi na Diamond ambao kimsingi kutokana na idadi yake, anadhihirisha jina lake la Sukari ya Warembo Takwimu zinaonesha kuwa karibu kila mwaka jamaa anabadilisha wapenzi ambapo wanawake wamekuwa wakipokezana vijiti. *UPENDO MUSHI ‘PENDO’* Hu... mor

0 Response to "CHEKI MAMBO MATAMU,YA MZEIYA PLATINUMZ!!!!!!!!,NI HATARI!!!!"