MAMBOZ ,HAYA NDIO MAMBO YA LEO PATA MAUTAM ZAID!!!!!!!!!!!

Pageview chart 112 pageviews - 15 posts, last published on 02-Mar-2014

Reading list | All blogs

Manage Reading list

BABY BOY ARUDI NA ‘FUNGA MKANDA’

Taswirainc@blogspot.com- 4 hours ago
Moja kati ya msanii anayefanya muziki wa bongo fleva Edson Wilison a.k.a Baby boy ambaye alipotea kwenye game ya muziki,sasa amerudi kwa kishindo kikali. Baby boy ambaye alipotea kwa kipindi kirefu, zaidi ya miaka miwili kwenye muziki sasa amerudi na ngoma yake mpya inayokwenda kwa jina la Funga Mkanda aliyofanya chini ya studio iliyopo maeneo ya sinza lego jijini dar es salaam inaoitwa Flexible music. Ngoma hiyo ambayo Baby Boy akiwa amemshirikisha Barnaba boy na msanii anayeitwa Shazy Melody,ambaye yupo lebo chini ya Flexible Entertainment ikiwa imetengenezwa na mtayarishaji Ba... more »

0 Response to "MAMBOZ ,HAYA NDIO MAMBO YA LEO PATA MAUTAM ZAID!!!!!!!!!!!"