NAY WA MITEGO ATAFUTWA KWA KESI YA KUTISHIA KUUA,.,.,.,soma hapa';';';http://taswirainc.blogspot.com/


  28 minutes ago
Msanii wa Hip Hop Tanzania Emanuel "Nay wa Mitego True Boy" anatafutwa kwa kosa la kutishia kuua. Kwa mujibu wa Suddy Baya ambae ndie alietishiwa kuuliwa na Nay, anasema kuwa amekuwa akipokea ujumbe wa vitisho mara kwa mara kutoka kwa Msanii huyo pia amekuwa akiwatumia watu tofauti tofauti ili wamteke, na kuthibitisha kwa hilo ameshapokea simu za vitisho kutoka kwa watu tofauti huku akisema walikuwa na lengo la kumteka. Hapo mwanzo walikuwa wakiishi pamoja huku akiwa kama msaidizi wa msanii huyo katika mambo yake ya Muziki na hata huduma za nyumbani kwa maana walikuwa wanaishi nyum... more »http://taswirainc.blogspot.com/

0 Response to "NAY WA MITEGO ATAFUTWA KWA KESI YA KUTISHIA KUUA,.,.,.,soma hapa';';';http://taswirainc.blogspot.com/"