KUWAGALAGAZA WASANII WA AFRIKA KWENYE NOMINATIONS ZA KORAhttp://taswirainc.blogspot.com/

DIAMOND PLATNUMZ AENDELEA

Pamoja na kwamba tuzo za Kora hazina tena ‘kiki’ kama zamani, Diamond Platnumz ameendelea kuwagalaza wasanii wa Afrika kwakuwa jina lake ndilo limekuwa likitajwa zaidi na mashabiki kwenye akaunti ya Facebook ya tuzo hizo...Click <HAPA>Kuona Page hiyohttp://taswirainc.blogspot.com/
Katika wiki ya ya 17 tangu watu waanze kutaja majina ya wasanii wa Afrika, Diamond ameendelea kuongoza na kuwaacha mbali wasanii wakubwa wakiwemo Koffie Olomide, Sarkodie, Fally Ipupa, Werason na wengine
SHUKA CHINI KUTOA MAONI YAKOhttp://taswirainc.blogspot.com/

0 Response to "KUWAGALAGAZA WASANII WA AFRIKA KWENYE NOMINATIONS ZA KORAhttp://taswirainc.blogspot.com/ "