MAN UNITED YAAMKA, YAIPIGA CRYSTAL PALACE 2-0, VAN PERSIE AANZA, ROONEY AMALIZA NA BONGE LA BAO.....

TASWIRA- 10 minutes ago
*[image: clip_image001[9]]**Manchester United imeonyesha uhai tena baada ya kushinda mechi ya Ligi Kuu kwa mabo 2-0 dhidi ya Crystal palace.**[image: clip_image001[5]]**Robin van Persie ndiye alianza kufunga bao kwa mkwaju wa penalty baada ya Patrice Evra kuangushwa ndani ya 18.**[image: clip_image001]**Lakini Wayne Rooney ambaye ameingia mkataba mpya na Man United, akapiga bao la pili. Bao hilo lilikuwa la kuvutia, kwani aliunganisha na mkwaju ukajaa kwenye kona ya lango.* *Hali hiyo inaonyesha kuinua matumaini ya mashabiki wa Man United ambao wamekuwa hawana amani kutokana na tim... more »

MASHALLAH...HUU NDIO UJIO MPYA WA MDADA RAY C...!!!SOMA ZAIDI HAPA...

  TASWIRA- 10 minutes ago
Anaitwa Rehema Chalamila kwenye stage ya muziki tunamjua kama Ray C. Kitu kikubwa kinachosubiriwa kutoka kwake hivi sasa kazi zake mpya kwenye muziki baada ya kukaa kimya kwa muda mrefu. Kitu cha kusubiria sio hicho tu bali Ray C Foundation ni kitu kingine kitakacho kuja kutoka kwa Ray C. Ameshare ujio wa foundation hii kwenye ukurasa wake wa instagram na kudokeza kwa maneno “Coming soon stay tuned!!!!!” japokuwa hakuweka wazi kazi ambayo itafanywa na foundation hiyo.

RIWAYA YA SITAISAHAU FACEBOOK SEHEMU YA NANE (8) INAENDELEA, UTAMU NDO UNAANZA SASA KAZI KWAKO MSOMAJI,KARIBU KUISOMA....!!

  TASWIRA- 2 hours ago
[image: https://scontent-b-lhr.xx.fbcdn.net/hphotos-ash3/t1/936399_613683545317832_1544278046_n.jpg] SITAISAHAU facebook MTUNZI: Emmy John P. MAWASILIANO: 0654 960040 SEHEMU YA NANE Pasipokutegemea John alisukumwa chini, akapinduka, lakini yule bwana alijaribu kukimbia tayari mguu wake ulikuwa umekamatwa. John alipogeuka ile alama ya kuchanwa na kisu ikaonekana. Nikabaki kama zoba siwezi kupiga kelele wala kutoa msaada wowote. Huyu naye akageuzwa shingo, kisha ghafla pakawa giza sikuweza kuona mbele. Lakini nilihisi kama napoteza fahamu hivi. Macho yalipopatra ujasiri na kufunguka ... more »

uwiiicheck huyu blogger maarufu nchini kenya akivo jichubua mpka kufika hapa...tazama ful pichaz kabla na baada....mmmh uzuri unatafutwaaa!!

  TASWIRA- 3 hours ago
[image: Meet The Kenyan Rap Sensation Who Has Bleached Her Skin Until She Is Ghost White (PHOTO)] Whenever the word bleaching is brought up, it usually gets the lads and lasses I work with wagging their tongues about Nigerians. And they always remind me of the fact that I share some heritage with skin bleachers. but now the tide has turned and I present to you the bleaching chronicles. And today I have a lass who has played the part of vivacious video vixen in times long forgotten before she took on a new role as an entertainer. Her name is Natasha Minneh and she is in the process... more »

WATU WASHENZI KWELI CHECK WALICHO MFANYIA WYNE ROONEY..UTACHEKA UPASUKE...JIONEE HAPA

TASWIRA- 3 hours ago
[image: https://fbcdn-sphotos-c-a.akamaihd.net/hphotos-ak-frc3/t1/1781983_750536054964035_1017359280_n.jpg]

LIVE SCORE: YANGA SC 4 - 0 RUVU SHOOTING - MBEYA CITY 0 - 0 COASTAL UNION

  TASWIRA- 7 hours ago
*Mbeya City 0 - 0 Coastal Union* *Dakika ni ya 33* *Dakika ya 30, Mrisho Ngasa anaipatia Young Africans bao la nnEDakika ya 27, Emmanuel Okwi anaipatia Young Africans bao la tatuDakika ya 20: Yanga 2 - 0 Ruvu * *Dakika ya 15, Ruvu Shooting 0 - 2 Young AfricansDakika ya 2, Saimon Msuva anaipatia Young Africans bao la piliSekunde ya 40, Didier Kavumbagu anaipatia Young Africans bao la kwanzaMpira ndo umeanza hapa Uwanja wa Taifa kati yaRuvu Shooting Vs Young Africans*

HAWA NDIYO WAREMBO WANAOJIUZA KWA WANAUME MATAJIRI...UNATAKA KUWAJUA?? KAZI KWAKO SOMA NA TAZAMA HAPA

  TASWIRA- 7 hours ago
Do you remember the famous facebook page called the campus diva for rich men?well this girls got social media wild but everybody wondered whose daughter,sister or girlfriend they were. According to the Kenya daily post here are some of the photos of the ladies who have been auctioning their bodies on social media (campus divas for rich men) to offer sexual services for money favours. KWA MAPICHA YAO CLICK HAPA MAKUBWA HAYA BLOG MAPICHA

RIWAYA YA SITAISAHAU FACEBOOK SEHEMU YA SABA (7) INAENDELEA TAFADHALI USIKOSE UHONDO....KARIBU KUISOMA

  TASWIRA- 13 hours ago
[image: https://fbcdn-sphotos-h-a.akamaihd.net/hphotos-ak-ash3/t1/600317_613200508699469_1474492915_n.jpg] SITAISAHAU facebook MTUNZI: Emmy John P. MAWASILIANO: 0654 960040 SEHEMU YA SABA Nikiwa katika kumkimbia John. Sasa aligundua kuwa kuna jambo limenisibu. Akanifuata kwa kasi. Akanivagaa. Nikajilazimisha kujitoa mikononi mwake huku nikipiga kelele. Ghafla akaninasa vibao viwili. Sasa hapo ndio nikachanganyikiwa mwenzenu na kuamini kuwa dunia imefika mwisho. Nililia huku nikimtaja mwalimu Nchimbi. Lakini cha ajabu na kukera huyo mwalimu Nchimbi hata hakuwa akinisikia. Iliniuma. J... more »

SIRI IMEFICHUKA.....!! KUMBE WASANII WAKIKE WANAOENDA NJE YA BONGO KUFANYA MATANUZI WANAKUWA WAMEFANYA BIASHARA YA KUJIUZA..!! SOMA HAPA

  TASWIRA- 15 hours ago
wanaoenda huko nje sababu ya kufanya shopping ni uongo mtupu maana ...(akataja jina la msanii mkubwa wa kike) alishawahi kwenda huko tena alienda kwa ajili ya kigogo mmoja hapa nchini ambaye alitaka wakutane huko Dubai kwa ajili ya mapenzi ndipo akapata fulsa ya kufanya na shopping baada ya kupewa pesa na kigogo huyo" Alisema rafiki huyo Swahilitz kama kawaida yake ilitaka kujua ukweli mzima upoje inakuwaje wanaenda nje kufanya hizo shopping na ni kwa kipato gani wanachopata maana kila siku wanalia kuwa wasanii maisha ni magumu sasa inakuwaje wanaweza kwenda nje ya nchi kufanya mat... more »
Help Center Terms of Service Privacy Content Policy Developers +Blogger

0 Response to " "