Manage Reading list

HAWA NDIO WASANII WATATU (3) BORA WANAO WACHANGANYA MADEMU NJE NA NDANI YA TZ KIMVUTO KUTOKANA NA S3XY BODY ZAO..WAJUE HAPA

  taswirainc@blogspot.com 2 hours ago
Hii ndio list ya Celebrities ambao kwa mwaka huu kweli unaweza kusema ndio wanaongoza kwenye upande mzima kimuonekano, according to a research done by vibe magazinetz imefanikiwa kupata kura zinazonyesha kuwa hawa ndio wanastahili kuwa kwenye top 3 ya wanamuziki wenye mvuto zaidi.Talking about being s3xy its not about kuwa na sura nzuri au kazi nzuri ya muziki msanii anayoifanya bali ni muonekano wa body jinsi ulivyojengeka,hii ni moja ya list ambayo at some point unaweza kumfanya mtu asiamini kumuacha girlfriend wake peke yake hata kwa dakika cause lolote linaweza kutokea katika ... more »

MWANDISHI WA HABARI NUSURA AMRUBUNI TANZANIA ONE ROBINA NICHOLOUS...MWACHENI ASOME JAMANI....TAARIFA KAMILI SOMA HAPA

taswirainc@blogspot.com- 2 hours ago
[image: http://www.paullusambo.com/media/kunena/attachments/850/TO_2013.jpg] Mwanadada aliye tangazwa kuwa tanzania one nusura kurubuniwa na mwandishi wa habari kisa urembo aliokuwa nao, mdaku wa Angaza Tz alitufikishia shuzi hili mara tu alipo mnasa jamaa akimpiga sound kistyle mtoto huyo wa kike kabla haja fika mitaa ya kwao....chanzo cha blog hii hakikukubali kabisa kuona tukio na kuacha kika mface jamaa na kumhoji kidogo lakin mwandishi huyo wa habari alidai alikuwa anamtega tu....jamani tumwacheni asome...na kwa mtazamo wako msomaji unadhani mtoto wa kike asinge mtolea nje jamaa ... more »

PNC AFUNGUKA UKWELI, NI KUTOKANA NA ALICHOFANYIWA NA OSTAZ JUMA NAMUSOMA..CHEKI HAPA

  taswirainc@blogspot.com - 4 hours ago
Baada ya kile kilichoitwa ni unyanyasaji na udhalilishwaji wa msanii PNC na meneja wake Ostaz Juma Namusoma, wasanii wenzake pamoja na wadau mbalimbali wa muziki wamelaani sana kitendo cha meneja huyo kumdhalilisha msanii wake kiasi kile. Wengi tumekuwa tukiona picha mtandaoni baada ya Ostaz Juma Namusoma kuziweka katika ukurasa wake wa faceboo. Lakini hatujajua ni nini kilichotokea kati ya watu hawa na kufikia kuwa ni story kubwa sana ya wiki hii.. Millardayo alifanya mahojiano na PNC na hiki ndicho alichokizungumza PNC Mwenyewe *"Kuomba samahani hiki kitu sijaona kama ni kitu ... more »

PICHA TATA...MMMH...LINAH AZUA GUMZO MTANDAONI BAADA YA KUTUPIA PICHA TATA...!!TAZAMA NA WAWEZA SEMA NENO

  taswirainc@blogspot.com - 5 hours ago
Msanii wa bongo fleva maarufu anayetamba kwa ngoma kibao za mapenzi ametupia picha akiwa amelaliwa na msichana mwenzie kwa juu (mgongoni)......mmh ama hakika ukistaajabu ya Musa utayaona ya Firauni!

DUNIA YA LEO HAKUNA MWANAMKE MBAYA KWA KWELI, HEBU TAZAMA PICHAZ 5 ZA MWANADADA RISPER FAITH ANAVOVUTIA...NI NOUMA SANA

  taswirainc@blogspot.com - 5 hours ago
Tazama picha za mwana Dada Risper Faith mwenye mvuto wa kubabaisha midume mingi…zamani na za saa hivi…then utapata jibu…. Hapa ndivyo anavyoonekana kwasasa Hapa ndio utakaposhangaa…..hapa ndivyo alivyokuwa zamani

WEMA SEPETU AMEKUWA BONGEBONGE KISA MAPENZI YA DIAMOND ....soma hapa alivofunguka mwenyewe

  taswirainc@blogspot.com - 13 hours ago
JANA katika Kipindi cha leo Tena Mwanadada Wema Sepetu Aliulizwa kwanini Siku hizi ananenepa sana kiumbo na Mwanadada huyo mrembo alijibu moja kwa moja kuwa ananenepa kwa sababu ana amani ya moyo kwa vile yupo na mtu kimapenzi ampendaye kuliko wote duniani...Nadhani wote mnamjua ni nani? Mapenzi raha Bwana asikwambie mtu ukimpata akupendaye na wewe anakupenda lazima unenepe.

0 Response to " "