taswira-inc@blogspot.com 1 hour ago

* Usiku uliopita umekuwa ni usiku wa furaha kwangu,baada*
* ya dada angu kuzindua video yake ya WANATETEMEKA*
* kwa,mafanikio makubwa..lakin tukio la huyu kijana *
*aliyeangua kilio akishinikiza anione*
* na kupiga picha,ni tukio ambalo limenionesha ni kiasi gani **nina*
* watu out there walio upande wangu,watu*
* wanaonipenda kwa dhat kabisa.*
*nikiwa backstage*
* kulikokuwa kumejaa kidogo,**alijitokeza kijana huyu*
*ambae *
*bahat mbaya sikuweza kumwona mapema..*
*mpaka niliposkia akilia,alikuwa akishinikiza*
* apewe nafasi ya kuniona na kupiga picha,but kulingana*
* na utaratibu w... more »
0 Response to "HUU NDIO TUNAITA USHABIKI WA DAMU::JAMAA AMBAYE NI SHABIKI WA AFRICA'S WONDER BOY DIAMOND PLATNUMZ ATIA FORA BAADA YA KUMWAGA MACHOZI KISAWA SAWA ILI APIGE PICHA NA DIAMOND.....STORI NA PICHAZ ZOTE JAMAA AKIMWAGA CHOZI TAZAMA HAPA"
Post a Comment