WALAKA MZITO KUWAENDEA WEMA SEPETU &MWENZIE KAJARA KUHUSU UGOMVI UNAOONDELEA KATI YAO PATA WALAKA HUO HAPA!!!!!


taswirainc!@blogspot.com- 3 hours ago
KWENU,Mastaa wa filamu Bongo, Kajala Masanja na Wema Sepetu. Poleni kwa tifu linaloendelea kati yenu. Hongereni kwa kazi za kila siku za kujipatia kipato. Tuweke mambo yote pembeni, mimi kama kaka yenu, hebu tuzungumze kirafiki kidogo leo. Nimefuatilia kwa karibu ugomvi unaoendelea kati yenu, moyoni imeniuma na nimeona naweza kuwashauri mawili matatu, nanyi mkiona inafaa, muyachukue kama dira ya tatizo lililopo kati yenu. Kajala Kwanza kabisa, kiini cha ugomvi wenyewe mpaka sasa ni kama hakina mashiko. read more!!!!!!!

0 Response to "WALAKA MZITO KUWAENDEA WEMA SEPETU &MWENZIE KAJARA KUHUSU UGOMVI UNAOONDELEA KATI YAO PATA WALAKA HUO HAPA!!!!!"