BABA MZAZI WA DIAMOND AZIDI KUMSHANGAA MWANAE KWA KUMtosa, PATA HABARI ZAID ALICHOKISEMA HAPA.



  TASWIRAINC@BLOGSPOT.COM- 2 hours ago
BABA wa msanii wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’, Abdul Jumaa amefunguka kuwa mwanaye huyo siyo riziki yake kwani hana dalili zozote za kumjali kama mzazi. *Nasibu Abdul ‘Diamond’.* Akistorisha na gazeti hili, mzee huyo alisema kwa sasa hataki kumzungumzia kabisa Diamond kwa sababu alishamtumia ujumbe kwamba anatakiwa kubaki kama baba tu na si vinginevyo. *'Mshua' Nasibu Abdul ‘Diamond’, Abdul Jumaa.* “Sitaki kumzungumzia Diamond kabisa kwa sababu nitaonekana najipendekeza kwake kwa sababu ameshasema nibaki kama baba tu, naona siyo riziki yangu,” alisema baba Diamond. Alipoul... more »

0 Response to "BABA MZAZI WA DIAMOND AZIDI KUMSHANGAA MWANAE KWA KUMtosa, PATA HABARI ZAID ALICHOKISEMA HAPA."