Kundi la Weusi linaloundwa na rappers kutoka Arusha, Joh Makini, Nick
wa Pili, G-Nako na Bonta jana usiku (April 30) walizindua video ya wimbo wao
unaofanya vizuri hivi sasa ‘Gere’ kwenye hotel ya Meditteraneo iliyopo jijini Dar es Salaam
Uzinduzi huo ulihudhuriwa na watu mbalimbali wakiwemo ndugu,jamaa na marafiki na wasanii wenzao na wadau wa muziki nchini
Uzinduzi huo ulihudhuriwa na watu mbalimbali wakiwemo ndugu,jamaa na marafiki na wasanii wenzao na wadau wa muziki nchini
0 Response to " PICHA:UZINDUZI WA VIDEO YA WIMBO WA WEUSI 'GERE' ULIOFANYIKA MEDITTERANEO HOTELhttp://taswirainc.blogspot.com/ saa 4:04 PM"
Post a Comment